Marekani

Article on other languages:

del.icio.us del.icio.us
Digg Digg
Furl Furl
Reddit Reddit
Rojo Rojo
Add to OnlyWire
United States of America
Maungano ya Madola ya Amerika
Flag of Marekani Nembo ya Marekani
Bendera Nembo
Wito la taifa: E Pluribus Unum
(kiasili "Moja kutoka wengi")
In God We Trust
(rasmi tangu 1956 "Twamtegemea Mungu")
Wimbo wa taifa: "The Star-Spangled Banner"
("Bendera ya nyota")
Lokeshen ya Marekani
Mji mkuu Washington DC
38°53′ N 77°02′ W
Mji mkubwa nchini New York
Lugha rasmi Kiingereza
hali halisi, si kisheria
Serikali Shirikisho la Jamhuri
George W. Bush
Uhuru
- Matangazo ya uhuru
- Mkataba wa Paris (1783)
Kutoka Uingereza
4 Julai 1776
3 Septemba 1783
Eneo
 - Jumla
 - Maji (%)
 
9,631,420 km² (ya 31)
4.87
Idadi ya watu
 - [[]] kadirio
 - 2000 sensa
 - Msongamano wa watu
 
(ya 3)
281,421,906
31/km² (ya 172)
Fedha United States dollar ($) (USD)
Saa za eneo
 - Kiangazi (DST)
(UTC-5 to -10)
(UTC-4 to -10)
Intaneti TLD .us .gov .edu .mil .um
Kodi ya simu +1

Marekani (inajulikana pia kama "Maungano ya Madola ya Amerika" au kwa kifupi chake cha Kiingereza kama "USA" au "US") ni nchi ya Amerika ya Kaskazini inayopakana na Kanada na Meksiko.

Mji mkuu wa Marekani ni Washington DC.

Yaliyomo

Eneo

Marekani bara

Eneo la Marekani ni hasa bara la Amerika Kaskazini kati ya Kanada upande wa laskazini na Meksiko upande wa kusini. Marekani imeunganisha upana wote wa bara kutoka Bahari ya Atlantiki na Pasifiki. Marekani bara imegawanywa kwa majimbo 48 yanayojitawala.

Eneo lake lagawiwa katikati na mto mkubwa Mississippi unaoanza mpakani wa Kanada na kuishia katika Ghuba ya Meksiko

Alaska

Jimbo la Alaska liko pia kwenye bara la Amerika Kaskazini upande wa kazkazini ya Kanada ikipakana na Urusi.

Hawaii

Funguvisiwa ya Hawaii ni jimbo la visiwani katika bahari ya Pasifiki.

Visiwa vya ng'ambo vya Marekani

Maeneo ya ng'ambo ya Marekani ni visiwa kadhaa ambavyo ni maeneo ya Kimarekani ingawa si sehemu ya jimbo lolote. Zamani vilikuwa kama koloni hata kama Marekani ilidai kutokuwa na koloni. Siku hizi maeneo haya yamepata viwango mbalimbali vya kujitawala. Kwa kawaida maeneo haya huchagua pia wawakilishi kwa ajili ya bunge la Marekani lakini wawakilishi wale si wabunge wa kawaida wakiwa na haki ya kusema na kushauriana tu bila haki ya kupiga kura.

Visiwa muhimu kati ya hivi ni kama vifuatavyo:

Waja

Tazama pia

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Marekani" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Marekani kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.


Majimbo na maeneo ya Marekani
Majimbo ya Marekani
AlabamaAlaskaArizonaArkansasCaliforniaColoradoConnecticutDelawareFloridaGeorgiaHawaiiIdahoIllinoisIndianaIowaKansasKentuckyLouisianaMaineMarylandMassachusettsMichiganMinnesotaMississippiMissouriMontanaNebraskaNevadaNew HampshireNew JerseyNew MexicoNew YorkNorth CarolinaNorth DakotaOhioOklahomaOregonPennsylvaniaRhode IslandSouth CarolinaSouth DakotaTennesseeTexasUtahVermontVirginiaWashingtonWest VirginiaWisconsinWyoming
Mkoa wa Mji Mkuu
Mkoa wa Columbia (Washington D.C.)
Visiwa vya ng'ambo
Katika Pasifiki: Samoa ya MarekaniVisiwa vya Mariana ya KaskaziniGuamKatika Karibi: Puerto RicoVisiwa vya Virgin vya MarekaniVisiwa vidogo sana vya Pasifiki:Kisiwa cha HowlandKisiwa cha JarvisAtolli ya JohnstonKingman ReefAtolli ya MidwayKisiwa cha BakerAtolli ya PalmyraKisiwa cha WakeKisiwa kidogo cha Karibi: Kisiwa cha Navassa






This article is from Wikipedia. All text is available under the terms of the GNU Free Documentation License.